Wizara ya Afya Zanzibar kuimarisha Taasisi ya Utafiti wa Afya ZAHRI
WIZARA ya Afya Zanzibar imesema kuwa inafanya jitihada ya kuimarisha Taasisi ya utafiti wa afya ZAHRI ili iweze kutoa taarifa za kisayansi ambazo zitasaidia udhibiti wa magonjwa wa binaadamu. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi utumishi uendeshaji Mwatoum Ramadhan Mussa katika mkutano wa mashirikiano kati ya Taasisi ya Taifa ya utafiti wa maradhi ya Binaadamu NIMRI na […]