Serikali ya Zanzibar imedhamiria kuhakikisha huduma bora za Afya zinapatikana muda wote kwa wananchi
Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Husein Ali Mwinyi imedhamiria kuhakikisha wananchi wa visiwa vya Zanzibar wanapata huduma bora za afya muda wote. Hadi sasa tayari ujenzi wa hospitali 10 za Wilaya kwa Unguja na Pemba na moja ya Mkoa karibu umekamilika ambapo […]