Wizara ya Afya imepokea msaada wa vifaa Tiba na dawa kutoka Marekani
WIZARA ya Afya Zanzibar imepokea msaada wa vifaa mbali mbali kutoka Taasisi Africa Relief and community Development ya Nchini marekani na taasisi nyengine vyenye thamani ya Zaidi ya dola laki mbili. Akipokea msaada huo Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amesema vifaa hivyo ni vifaa ni vya kuwasaidia wagonjwa waliolazwa, vifaa vya sehemu ya […]