Uzinduzi wa mradi mpya wa Malaria
WAZIRI wa Afya, Ahmed Nassor Mazrui, amesema, jitihada za Mfuko wa Rais wa Marekani wa Kupambana na Malaria (PMI) zimechangia kupunguza kasi ya maambukizi ya malaria Zanzibar kutoka zaidi ya 30% mwaka 2005 hadi kiwango cha sasa cha chini ya 1%. Hayo aliyaeleza alipokuwa akizindua mradi mpya wa miaka mitano kuondoa malari Zanzibar huko Hoteli […]