Wizara ya Afya Zanzibar imetiliana saini mkataba wa ukarabati na utanuzi wa Hospitali ya Mnazi mmoja

WIZARA ya Afya Zanzibar imetiliana saini mkataba na mshauri elekezi wa Kampuni ya Al Abdulhadi Engineering Consultancy ya Kuweit  na mshirika mwenzawake Apex Engineering ya Tanzania kwa ajili ya kufanya ukarabati mkubwa na utanuzi  wa Hospitali ya Rufaa ya Mnazimmoja. Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt Fatma Mrisho emesema kuwa ukarabati huo mkubwa unaotarajiwa kuanza […]

Waziri wa Afya akutana na Ujumbe wa GHC Hospitals kutoka India

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya Zanzibar, imesema itaendeleza jitihada zake za kuimarisha huduma za maradhi ya moyo hapa nchini kwa kuleta madaktari bingwa wa magonjwa hayo kutoka nchi mbali mbali ikiwemo India ili kuweza kufanya uchunguzi na kuwapatia matibabu wagonjwa wenye maradhi hayo.Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui alipofanya mazungumzo […]

Serikali ya Marekani kuimarisha huduma za Afya Zanzibar

SERIKALI ya Marekani kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Afya inakusudi kuimarisha huduma za afya hasa katika maeneo ya homa ya inni na Ukimwi na maradhi ya miripuko. Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amesema kuja kwa uwekazaji    wa miradi huo  utasaidia  kuanzishwa kwa programu mpya ya mkataba ambayo […]

Wizara ya Afya Zanzibar imesema itashirikiana na washirika wa maendeleo kukuza sekta ya afya

Wizara ya Afya Zanzibar imesema itashirikiana na washirika wa maendeleo mbali mbali katika kueka miundombinu iliyobora ya sekta ya afya ili wananchi waweze kupata huduma Bora za afya. Hayo yameelezwa na Waziri wa afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui wakati alipofanya mazungumzo na ujumbe kutoka Enter Capital limited wa nchini Netherland ambao una Nia ya kuimarisha […]

Wizara ya Afya itaendelea kutoa huduma za afya ya uzazi kwa vijana

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya itaendelea kuwaekea vituo vya huduma rafiki kwa vijana ili kuweza kuwasadia katika kupata huduma za afya ya uzazi kwa ukaribu na kuweza kukabiliana na changamoto wanazokabiliana nazo. Wito huo umetolewa na Waziri wa Afya Zanzibar Mh.Nassor Ahmed Mazrui huko Bumbwisudi alipofungua kituo cha kutolea huduma za afya ya uzazi kwa […]

Uzinduzi wa mradi mpya wa Malaria

WAZIRI wa Afya, Ahmed Nassor Mazrui, amesema, jitihada za Mfuko wa Rais wa Marekani wa Kupambana na Malaria (PMI) zimechangia kupunguza kasi ya maambukizi ya malaria Zanzibar kutoka zaidi ya 30% mwaka 2005 hadi kiwango cha sasa cha chini ya 1%. Hayo aliyaeleza alipokuwa akizindua mradi mpya wa miaka mitano kuondoa malari Zanzibar huko Hoteli […]

Waziri wa Afya amekutana na ujumbe kutoka USAID

Waziri wa Afya Zanzibar Mhe, Nassor Ahmed Mazrui amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Afya itaendelea kushirikiana na washirika wa maendeleo ikiwemo Shirika la USAID ili kuweza kuimarisha sekta ya afya hapa nchini. Amesema Shirika la USAID limekuwa likisaidia Sekta ya Afya katika Nyanja tofauti ikiwemo Malaria, Kifuakikuu, homa ya Ini na […]

USAFI KATIKA BUSTANI YA FORODHANI

Kitengo cha Afya ya Mazingira cha Wizara ya Afya pamoja na wafanyabishara ya vyakula bustani ya Forodhani wamefanya usafi katika sehemu yao ya kufanyia biashara ili kuweza kuwa na mazingira mazuri. Afisa afya kitengo cha afya ya mazingira Amina Makame amesema katika sehemu ya uuzaji wa vyakula katika enoe la bustani ya Forodhani linakiwa kuwa […]