Mkutano wa watendaji wa afya mama na mtoto wafanyika Zanzibar
Wizara ya Afya imeamua kuchukuwa hatua madhubuti na kuhakikisha wanaondosha changamoto zinazowakabili ili kupunguza vifo vya mama na mtoto nchini. Hayo amesema Mkurugenzi wa Kinga na elimu ya afya Dr. Ali Said Nyanga wakati akifungua mkutano wa mwaka wa kujadili afya ya mama na mtoto huko ukumbi wa chuo cha utalii Marughubi Mjini Zanzibar. Amesema […]