Wizara ya Afya Zanzibar imetiliana saini mkataba wa ukarabati na utanuzi wa Hospitali ya Mnazi mmoja
WIZARA ya Afya Zanzibar imetiliana saini mkataba na mshauri elekezi wa Kampuni ya Al Abdulhadi Engineering Consultancy ya Kuweit na mshirika mwenzawake Apex Engineering ya Tanzania kwa ajili ya kufanya ukarabati mkubwa na utanuzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mnazimmoja. Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt Fatma Mrisho emesema kuwa ukarabati huo mkubwa unaotarajiwa kuanza […]