Wizara ya Afya Zanzibar imesema itaanza kuhamisha huduma za uzazi katika Hospitali ya Mnazi mmoja ili kuweza kupisha ujenzi
Wizara ya Afya Zanzibar imesema itaanza kuhamisha huduma za uzazi katika Hospitali ya Mnazi mmoja ili kuweza kupisha ujenzi, ukarabati na utanuzi wa Hospitali hiyo unaotarajiwa kuanza mwezi wa sita mwaka huu. Akitoa Taarifa kwa wananchi Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Hassan Khamis Hafidh amesema kutokana na kuanza kwa taratibu za utanuzi na ujenzi wa […]