WIZARA ya Afya Zanzibar imesema itashirikiana na wadau mbali mbali wa maendeleo  wakiwemo USAID kwa kuhakikishan vifo vya mama wajawazito na watoto wachanga vinaondoka hapa nchini.

WIZARA ya Afya Zanzibar imesema itashirikiana na wadau mbali mbali wa maendeleo  wakiwemo USAID kwa kuhakikishan vifo vya mama wajawazito na watoto wachanga vinaondoka hapa nchini. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Hassan Khamis Hafidh wakati alipofungua mkutano wa kutathmini na kupanga mikakati huduma za Afya ya mama na mtoto  ambao umeshirikiana […]

WAZIRI wa Afya Zanzibar amesema mapambano ya kumaliza maradhi yasioambukiza Zanzibar yanahitaji nguvu ya pamoja

WAZIRI wa Afya Zanzibar Nassro Ahmed Mazrui amesema mapambano ya kumaliza maradhi yasioambukiza Zanzibar yanahitaji nguvu ya pamoja na wadau ili kuwa na taifa salama lisilo na maradhi. Amebainisha hayo katika mkutano wa wadau ulokuwa na lengo la kujadili mbinu za kumaliza maradhi yasiyoambukiza Amesema mabadiliko ya mtindo wa maisha ndio chanzo cha magonjwa yasiyoambukiza […]

Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amewapa Pongezi Taasisi ya The Same Qualities Foundation ya Arusha kwa kusaidia kuimarisha Afya za wananchi Nchini

WAZIRI wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amesifu jitihada za Taasisi ya The Same Qualities Foundation ya Arusha kwa kusaidia katika kuimarisha Afya za wananchi Tanzania ikiwemo Zanzibar kwa kuwafanyia upasuaji wa midomo wazi. Amesema kwa Zanzibar tayari wamefika katika awamu tofauti na kuwafanyia upasuaji wa midomo wazi watoto na watu wazima na kufanikiwa kuwarejeshea […]

Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Mazrui amesema mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wete Pemba unatarijiwa kuanza hivi karibuni

WAZIRI wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amesema mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wete Pemba unatarijiwa kuanza hivi karibuni mara baada ya kupatikana mshauri elekezi. Waziri Mazrui ameyaeleza hayo huko ofisini kwake alipofanya mazungumzo na Balozi umoja wa nchi falme za kiarabu UAE aliyepo Zanzibar yaliyohusina na maendeleo ya ujenzi wa mradi wa hospitali […]

Zanzibar na China kuendeleza ushirikiano katika sekta ya Afya

Zanzibar na China zimetakiwa kuimarisha ushirikiano uliopo ili kuweza kuzalisha madaktari bingwa wa upasuaji wa kutumia matundu madongo kwa magonjwa mbalimbali hapa Zanzibar. kauli hiyo imetolewa na Dkt. Mwanabaraka Saleh Mkurugenzi hududma za upasuaji Hospitali ya Mnazi mmoja amesema  ujio Madaktari kutoka china umesaidia Hospitali ya Mnazi mmoja kupata Madaktari bingwa sita wa upasuaji kwa […]

WIZARA YA AFYA IMEPOKEA MSAADA WA FEDHA KUTOKA CHINA

WIZARA ya Afya Zanzibar imepokea msaada wa vifaa mballimbali vikiwemo vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia tisa na 20 kutoka hospitali ya jiji la Jiangsu China vitakavyotumika katika Hospitali ya Mnazimmoja na Abdalla Mzee Pemba. Msaada huo umepokelewa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Habiba Hassan Omar na kutia saini […]

Maadhimisho siku ya Maabara Duniani

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka wataalamu wa Maabara kuvifanyia utafiti vitu wanavyovichunguza ikiwemo maradhi ili kuyadhibiti kwa njia za kisayansi. Akisoma hotuba ya rais Mwinyi katika kilele cha wiki ya Maabara Duniani huko Hoteli ya Golden Tulip, Uwanja wa Ndege Zanzibar, Waziri wa Afya, Nassor Ahmed Mazrui, alisema, kufanya hivyo kutasaidia taasisi […]

WAUGUZI WATAKIWA KUWAJIBIKA KULETA MABADILIKO KATIKA SEKTA AFYA

WAUGUZI wanafunzi wametakiwa kuwajibika na kuhakikisha kuwa wanaleta  mabadiliko makubwa katika fani hiyo ili kuongeza hadhi na sifa za wauguzi hasa kwa walioko makazini. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui katika Mkutano Mkuu wa wa 18 na Kongamano la Kisayansi lilowashirikisha wanafunzi wauguzi katika vyuo vinane Tanzania Bara na Visiwani. […]

Loading