Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla azindua kampeni ya chanjo ya polio Mkokotoni
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuweka mkakati muafaka wa kupunguza watu wasio na kinga ili kufikia malengo ya kutokomeza ugonjwa wa Polio Nchini. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ametoa kauli hiyo katika uzinduzi wa kampeni ya kutoa Chanjo ya matone ya Pilio iliyofanyika katika Viwanja vya Mkokotoni Sokoni […]