WIZARA ya Afya Zanzibar imesema itashirikiana na wadau mbali mbali wa maendeleo wakiwemo USAID kwa kuhakikishan vifo vya mama wajawazito na watoto wachanga vinaondoka hapa nchini.
WIZARA ya Afya Zanzibar imesema itashirikiana na wadau mbali mbali wa maendeleo wakiwemo USAID kwa kuhakikishan vifo vya mama wajawazito na watoto wachanga vinaondoka hapa nchini. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Hassan Khamis Hafidh wakati alipofungua mkutano wa kutathmini na kupanga mikakati huduma za Afya ya mama na mtoto ambao umeshirikiana […]