Wizara ya Afya Zanzibar imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Serikali ya China katika kutoa huduma mbali mbali za Afya
WIZARA ya Afya Zanzibar imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Serikali ya China katika kutoa huduma mbali mbali za Afya ikiwemo kuwafanyia uchunguzi wa maradhi ya saratani shingo ya kizazi. Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui ameyaeleza hayo katika Mkutano wa kupokea ripoti ya uchunguzi wa Saratani ya Shingo ya kizazi iliyofanywa na madaktari kutoka […]