Waziri Mazrui atembelea kituo cha Blooming Flower of Zanzibar
WAZIRI wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amesema kuwepo kwa kliniki ya tiba mbadala inayofanya tiba za kutumia njia ya masaji ya kiafya na viungo itasaidia kwa kiasi kikibwa kuimarisha afya za wananchi wa Zanzibar na wegeni wenye matatizo tofauti ikiwemo waliopata kiharusi. Waziri Mazrui ameyaeleza hayo huko Mbweni katika kliniki ya Blooming Flower of […]