Maadhimisho ya wiki ya maabara Duniani
RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema, serikali itaendelea kuziimarisha maabara kwa lengo la kupata matokeo sahihi ya vipimo na tafiti za kimaabara nchini. Dk. Mwinyi, aliyasema hayo katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla katika mkutano wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya […]