Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Itaendelea kudhibiti bidhaa zisizofaa kwa matumizi ya Mwanaadamu
WIZARA ya Afya Zanzibar kupitia Wakala wa Chakula Dawa na Vipodozi itaendelea kudhibiti bidhaa zisizofaa kwa matumizi ya mwanadamu ili kuondokana na maradhi mbali mbali yakiwemo yasioyakuambukiza. Akizundua Bodi ya Pili ya ushauri ya Wakala Chakula, Dawa na Vipodozi ZFDA Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui amesema kupatikana kwa Bodi hiyo kutaengeza ufanisi wa […]