WHO WAKUTANA NA WATENDAJI WA AFYA ZANZIBAR
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Hassan Khamis Hafidh amesema Wizara ya afya ina jukumu la kutoa huduma bora za afya Nchini kwa kulinda na kutibu ili kupunguza madhara mbalimbali yatokanayo na maradhi katika jamii. Ameyasema hayo huko Verde Mtoni katika mkutano wa pamoja kati ya WHO na Wizara ya Afya wa mapitio ya kukagua utekelezaji […]